
Leo kwa mara nyingine tena Tanzania imeingia kwenye Headline ya kumpata Miss Tanzania 2016 baada ya miaka miwili kupita bila kufanyika shindano la Miss Tanzania, Shindano la Miss Tanzania limefanyika Mwanza kwa mara ya kwanza na mrembo kutokea Kinondoni Dar es salaam Diana Edward Lukumai amekuwa mshindi kwa kati ya warembo 30,


Wa pili kushoto Lilian Kamazima, Miss Tanzania 2014

Christian Bella, akitoa Burudani




Host wa shinadno la Miss Tanzania 2016, Jokati Mwegelo

Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu


Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward Lukumai


Zawadi ya Miss Tanzania 2106
KWA HISANI YA MILLARD AYO
Tukio zima la Miss Tanzania 2016, Tazama Hapa
Reviewed by habari motto
on
8:05 AM
Rating: