Waliofariki Kwa Corona Marekani Wafika 12,722

5 years ago
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne. Idadi hiyo inaweka watu waliofariki kutokana na virusi hivyo nchini humo kufikia 12,722 kulingana na data za chuo kikuu cha Johns Hopkins. Marekani ina wagonjwa 398,000 wa virusi hivyo waliothibitishwa ,...
Waliofariki Kwa Corona Marekani Wafika 12,722 Waliofariki Kwa Corona Marekani Wafika 12,722 Reviewed by habari motto on 10:33 AM Rating: 5

Afrika Kusini yapiga marufuku raia wake kutoka nje

5 years ago
Afrika Kusini imeanza kutekeleza leo amri ya watu kubakia majumbani mwao chini ya uangalizi wa jeshi, na kujiunga na nchi nyingine za Afrika zinazoweka hatua kali za watu kutotoka nje na kufunga shughuli nyingi katika jitihada za kusitisha kusambaa kwa virusi vya corona. Watu milioni 60 nchini Afrika Kusini watalazimika...
Afrika Kusini yapiga marufuku raia wake kutoka nje Afrika Kusini yapiga marufuku raia wake kutoka nje Reviewed by habari motto on 11:32 AM Rating: 5

Mo Salah achunguzwa

7 years ago
Haki miliki ya picha Mshambuliaji wa Liverpool raia wa Misri Mohamed Salah anachunguzwa na polisi baada ya video yake kuibuka akionekana kuendesha gari akiwa bado anatumia simu. Klabu yake inadaiwa kuwa ndiyo iliyopiga simu kwa polisi. Polisi wa Merseyside wamethibitisha kupitia ujumbe wa Twitter kwamba video hiyo...
Mo Salah achunguzwa Mo Salah achunguzwa Reviewed by habari motto on 7:02 AM Rating: 5

Mbunge Bobi Wine akamatwa Uganda

7 years ago
Mbunge nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu kama Boni Wine amekamatwa na polisi saa kadhaa baada ya dereva wake kuuawa kwa kupigwa risasi na polisi. Awali Bobi Wine alidai kuwa dereva wake aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa ndani ya gari lake. Mbunge huyo wa Kyadondo aliandika kwenye mtandao wa Twitter kuwa walikuwa...
Mbunge Bobi Wine akamatwa Uganda Mbunge Bobi Wine akamatwa Uganda Reviewed by habari motto on 6:57 AM Rating: 5

Vipindi vya stesheni za Tanzania Kuonyeshwa Bure

7 years ago
Image captionWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania ,Dr.Harrison Mwanyembe Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania ,Dr.Harrison Mwakyembe, amezitaka kampuni za vin'gamuzi vya DSTV, AZAM na ZUKU kufuata sheria kwa sababu Watanzania wana haki ya kupata habari bila kulipishwa. Waziri...
Vipindi vya stesheni za Tanzania Kuonyeshwa Bure Vipindi vya stesheni za Tanzania Kuonyeshwa Bure Reviewed by habari motto on 6:55 AM Rating: 5

Hii ndiyo Miji bora zaidi kuishi duniani

7 years ago
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES Mji mkuu wa Austria, Vienna, umeorodheshwa kuwa mji bora zaidi kwa watu kuishi duniani, na kuchukua nafasi ya mji wa Melbourne wa Australia ambao umeongoza kwa miaka mingi. Mji wa Harare, Zimbabwe ni miongoni mwa miji ambayo haivutii kwa watu kuishi duniani. Ni mara ya kwanza kwa...
Hii ndiyo Miji bora zaidi kuishi duniani Hii ndiyo Miji bora zaidi kuishi duniani Reviewed by habari motto on 6:51 AM Rating: 5

SERIKALI KUDHIBITI UHALIFU UKANDA WA ZIWA NA BAHARI

7 years ago
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akiwaongoza viongozi wengine kutembelea eneo la mwambao wa Ziwa Victoria baada ya kuikabidhi boti hiyo ya doria kwa Jeshi la Polisi, kutoka kushoto ni Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Daniel Shilla, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert...
SERIKALI KUDHIBITI UHALIFU UKANDA WA ZIWA NA BAHARI SERIKALI KUDHIBITI UHALIFU UKANDA WA ZIWA NA BAHARI Reviewed by habari motto on 6:19 AM Rating: 5

Waziri Mwakyembe aitaka TCRA kutoa muongozo kwa wenye visimbuzi nchini

7 years ago
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe  ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) kufanya mazungumzo na wamiliki wa visimbuzi vya AZAM, DSTV na ZUKU ili kutoa muongozo wa nini kifanyike juu ya hatma yao ya kutoruhusiwa kuonesha channeli za umma kinyume leseni zao.   Akizungumza...
Waziri Mwakyembe aitaka TCRA kutoa muongozo kwa wenye visimbuzi nchini Waziri Mwakyembe aitaka TCRA kutoa muongozo kwa wenye visimbuzi nchini Reviewed by habari motto on 6:15 AM Rating: 5

Dk Bashiru Ali ateuliwa Katibu Mkuu mpya wa CCM

7 years ago
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) alipokuwa akizungumza na kumpongeza Dk.Bashiru Ali (kulia) mara baada ya kuteuliwa na kupata ridhaa ya wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC)kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa ...
Dk Bashiru Ali ateuliwa Katibu Mkuu mpya wa CCM Dk Bashiru Ali ateuliwa Katibu Mkuu mpya wa CCM Reviewed by habari motto on 10:45 PM Rating: 5

Albert Msando Kuongoza Kamati Ya Makonda Kusaka Haki za Watoto

7 years ago
Wakili Albert Msando ataongoza kamati iliyounda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda kwa ajili ya kushughulikia kesi zote na changamoto zilizojitokeza katika zoezi la kutafuta haki za watoto waliotelekezwa na wazazi wao. Zoezi hilo lilifungwa hapo jana April 27, 2018 ambapo wananchi 17,000 walijitokeza,...
Albert Msando Kuongoza Kamati Ya Makonda Kusaka Haki za Watoto Albert Msando Kuongoza Kamati Ya Makonda Kusaka Haki za Watoto Reviewed by habari motto on 6:33 AM Rating: 5

Kamishna wa zamani wa mji wa Dar es Salaam aaga dunia

7 years ago
Aliyekuwa kamishna wa eneo la Mbeya na mji wa Dar es Salaam Abbas Kandoro ameaga dunia katika hospitali kuu ya Muhimbili (MNH). Habari hizo zilithibitishwa na msemaji wa hospitali hiyo Aminiel Aligaesha. Bwana Kandoro alifariki siku ya Ijumaa, Aprili 27, 2018 wakati alipokuwa akipata matibabu. Alifariki katika hospitali...
Kamishna wa zamani wa mji wa Dar es Salaam aaga dunia Kamishna wa zamani wa mji wa Dar es Salaam aaga dunia Reviewed by habari motto on 6:22 AM Rating: 5
Powered by Blogger.