Lady Jaydee Afutwa Machoz, avalishwa pete...

Moja ya Couple za mastaa zilizokuwa maarufu ni ile ya Gadner na Msanii maarufu wa tanzania ajulikanae kama Lady Jaydee, Lakini mapenzi hayo yaliisha baada ya kutokea mambo ambayo mpaka sasa hakuna anaejua ukweli zaidi ya hao wawili.

 Nimekuletea picha hizi zikithibitisha Jide Kuvishwa pete..japo mpaka sasa hajajulikana aliemvalisha pete ni nani....
Jaydee akionyesha pete yake..



CREDIT KWA Hass Media
Lady Jaydee Afutwa Machoz, avalishwa pete... Lady Jaydee Afutwa Machoz, avalishwa pete... Reviewed by habari motto on 9:58 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.