Mbunge wa Arusha mjini, Mhe.Godbles Lema amepata ajali ya gari alasiri hii. Ajali hiyo imetokea katika eneo la Burka, karibu na Uwanja wa ndege wa Arusha. Alikuwa akielekea bungeni-Dodoma.
Gari lake-Land Cruiser limegongana na Suzuki. Magari yote mawili yameumia vibaya, hasa Suzuki, kiasi cha kutoamini kama kuna mtu katoka salama. Hata hivyo Mungu ni mkubwa, Mbunge, Dereva wake na watu wengine wako salama.
Ameahirisha safari, amerejea mjini kwa taratibu nyingine, ikiwa ni pamoja na kucheki afya hospitali.
Mbunge Wa Arusha Mjini Apatwa Na Ajali
Reviewed by habari motto
on
7:16 PM
Rating:
Reviewed by habari motto
on
7:16 PM
Rating: