ALICHOKISEMA MKUU WA POLISI KUHUSU NAURA SPRING KUWAKA MOTO

Zile habari ya kwamba hotel ya Naura Spring ya Arusha inawaka moto zilikuwa si za kweli ni watu wametengeza picha hizo ambazo zilikuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii. Kamanda wa Polisi Arusha Liberatus Sabas ameongea jioni hii na vyombo vya habari na kukanusha habari za hotel hiyo ya kitalii jijini Arusha kwamba iliwaka moto hizo ni picha za kutengeneza hotel ipo salama kabisa kama unavyoona kwenye picha. 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Sabas
Naura Spring Hotel inavyoonekana katika picha
ALICHOKISEMA MKUU WA POLISI KUHUSU NAURA SPRING KUWAKA MOTO ALICHOKISEMA MKUU WA POLISI KUHUSU NAURA SPRING KUWAKA MOTO Reviewed by habari motto on 8:59 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.