MTOTO AVUNJA REKODI YA DUNIA

NI MTOTO IDDA BAITWA ALIYEVUNJA REKODI KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUPITIA NJIA NGUMU ZAIDI KIKIFIKIA KILELE CHA MLIMA HUO MREFU BARANI AFRICA. MTOTO IDDA ANAKUWA MTU WA KWANZA MWENYE UMRI MDOGO KUAPNDA MLIMA HUO KUPITIA NJIA HIYO
 
Mwisho kabisa mtoto Idda na Nduguze wakatoboza kwenye kilele cha Uhuru na kuandika historia ya kuwa mtoto wa kike wa miaka 9 kupanda Mlima Kilimanjaro kwa kutumia njia ngumu ya Umbwe hadi kufika kileleni
MTOTO AVUNJA REKODI YA DUNIA MTOTO AVUNJA REKODI YA DUNIA Reviewed by habari motto on 11:09 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.