VANESSA MDEE A.K.A VEE MONEY, AVUKA BODA KUWAFATA HAWA JAMAA

Venessa Mdee

MSANII WA TANZANIA  Venessa Mdee aka Vee Money, anayetamba kwa nyimbo nzuri nzuri kama come over anaendelea kutanua mipaka ya kazi yake. Ni baada ya kuthibitisha kuwa anatengeneza nyimbo huku akwashirikisha nyota wa Kenya SAUT SOL

Msanii huyo kwa sasa yuko Nairobi kurekodi katika studio za Cike Studio
VANESSA MDEE A.K.A VEE MONEY, AVUKA BODA KUWAFATA HAWA JAMAA VANESSA MDEE A.K.A VEE MONEY, AVUKA BODA KUWAFATA HAWA JAMAA Reviewed by habari motto on 8:16 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.