RAIS KIKWETE AONGOZA MAZIKO YA MEJA JENERALI MUHIDDIN MFAUME KIMARIO

Ma-Meja wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) huku wakisindikizwa Ma-Kanalki wakiwasili makaburini

 Baada ya ndugu wakiongozwa na viongozi wa dini kumaliza maziko, Askari wa JWTZ walichukua nafasi yao kuaga kwa heshima zote za kijeshi ikiwa ni pamoja na kupigwa mizinga

 Rais kikwete akiwa na Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt Msengi na Meja Jenerali  Ezekiel  Kyunga, mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange
 Brigedia Jenerali Ibrahim Kimario akiweka udongo kaburini
Angalia picha zaid za  Dua baada ya maziko hapa
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZIKO YA MEJA JENERALI MUHIDDIN MFAUME KIMARIO RAIS KIKWETE AONGOZA MAZIKO YA MEJA JENERALI MUHIDDIN MFAUME KIMARIO Reviewed by habari motto on 11:49 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.