Ofisa wa Kampuni ya Konyagi Bw, Alex Sanamba kulia akiwaonesha kinywaji cha zanzi wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara walipotembelea kiwanda hicho |
Wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara wakiangalia mashine inayotengeneza konyagi ya kiroba
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'KONYAGI' Bw. David Mgwassa kushoto akiteta jambo na Mwenyekiti wa Kamati ya uchumi viwanda na biashara Bw, Luhaga Mpina na Dr. Terezya Huvisa walipotembelea kiwanda hicho kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'KONYAGI' Bw. David Mgwassa kulia akielekeza shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo
Wabunge Watembeleaa Kiwanda Cha Konyagi
Reviewed by habari motto
on
9:22 AM
Rating: