Hivi Ndivyo Mabomu Yalivyorindima Jijini Dar Es Salaam Kutawanya Waandamanaji



mwenyekiti wa serikali ya mtaa Juma Mbena akipata kipigo kutoka kwa  wanachama wanaodaiwa ni ukawa baada ya mgombea wao kwa madai kutoapishwa na badala yake kuapishwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa ukwamani ccm ndipo vurugu hizo hizo zilivyo anza picha inamuonyesha mwenyekiti huyo akila kisago bila huruma wakati wa sherehe ya kuwapisha wajumbe na wenyeviti walioshinda katika mitaa yao 


baada ya kisago kilichompata sawasawa aliamua kujinusuru kwa kuingia kwewnye mtaro na kujificha kwenye kalavati ambaye alifahamika kwa jina la Juma Mbena akiingia kwenye kalavati baada ya kupokea kipigo
 
jeshi la polisi wakimuokoa mwenyekiti huyo kula kisago zaid

ukawa wakimkunja mohamed jeta ambaye ni mjumbe wa serikali ya mtaa kupitia ccm akibinywa kisawasawa bila kujitetea hii ndio dimokrasiainaza bongo sherehe nzima ya kuwaapisha viongozi hao ilikuwa kwa wasisi huku ambao walioapishwa walikuwa na wasiwasiu wa kutoka mara baada ya kuapishwa huku jeshi la polisi likitumia mabom ya machozi kuwaondoa watu hao waliokuwa na asira























Moahamed Jeta wa Kawe akiomba  msaada kwa polisi baada ya kupata mkongoto akiwa katika mtaro ambaye mwenzake alijificha kwenye karavati na kuokoa maisha yake
   MZUKA WA FUNGO BLOG
Hivi Ndivyo Mabomu Yalivyorindima Jijini Dar Es Salaam Kutawanya Waandamanaji Hivi Ndivyo Mabomu Yalivyorindima Jijini Dar Es Salaam Kutawanya Waandamanaji Reviewed by habari motto on 1:55 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.