Saa kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu kutoroka baada ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu Dar es salaam asubuhi ya December 31 2014.
Muda mfupi baadae Polisi ikatoa taarifa kwamba mtuhumiwa wa dawa za kulevya aliyeuwawa ni Abdul Koroma raia wa Sierra Leone na aliuwawa kwa risasi wakati akitoroka Mahakamani.
Mtuhumiwa wa dawa za kulevya Adul Koroma raia wa Sierra Leone amepigwa risasi na kufa leo asubuhi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam.
Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi.
Mtuhumiwa wa madawa ya kulevya raia wa Sierra Leone akiwa amepigwa risasi baada ya kutaka kuwatoroka askari magereza katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Mtuhumiwa Madawa Ya Kulevya Auawa Akitaka Kutoroka
Reviewed by habari motto
on
2:43 PM
Rating: