Rais Jakaya Kikwete Amjulia Hali Mgonjwa Bagamoyo Mjini

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkazi wa Bagamoyo mjini,  Mohamed Amani anayeugua ugonjwa wa Kiharusi kutokana na maradhi ya moyo.Rais kikwete aliyekuwa katika mapunziko ya mwisho wa wiki nyumbani kwake mjini Bagamoyo alimwona mgonjwa huyo  na kuamua kusimama kumjulia hali na kuahidi kumpatia msaada wa matibabu.Picha na Freddy Maro-IKULU
Rais Jakaya Kikwete Amjulia Hali Mgonjwa Bagamoyo Mjini Rais Jakaya Kikwete Amjulia Hali Mgonjwa Bagamoyo Mjini Reviewed by habari motto on 9:53 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.