Askofu Kadinali Pengo amesema anawataka Viongozi wa Dini wawaelimishe waumini juu ya mazuri na mabaya ya Katiba Inayopendekezwa kisha wawaache wafanye maamuzi wao weneywe, badala ya kuwaamulia na kuwaambia/kuwalazimisha kupiga kura ya hapana.
Askofu Kadinali Pengo Ataka Waumini Waelimishwe zaidi
Reviewed by habari motto
on
6:44 AM
Rating: