Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imemtaka meneja wake kutoa nyaraka zinazoonyesha Mikataba ya Diamond ndani ya siku saba (7). Inaelekea kuna jambo haliko sawa!
Diamond Platinumz Akaliwa Kooni na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Reviewed by habari motto
on
9:09 PM
Rating: 5