Baadhi ya wasanii wameonekana kuhamia kwenye siasa kama Mr Two, Prof. Jay, Afande Sele na wengine msanii Juma Nature amesema alikuwa amepanga kufanya hivyo na watu walimfata ila mwaka huu ameona asigombee, kama angegombea Ubunge Temeke angepita ila kwa sasa amewaachia wasanii wenzake, ikitokea akawa Mbunge jambo la kwanza kufanya kwa wanachi wake ni barabara ya Mbagala, Hospitali pamoja na Soko na ataingia chama chochote atakachoona kinamsingi mzuri.
Kutoka Kwa Juma Nature Kuhusu Kugombea siasa
Reviewed by habari motto
on
5:17 PM
Rating: