Kupitia kwenye kipindi cha XXL kinachorushwa clouds fm, msanii Diamond platnums, amezungumzia uzinduzi wa Tv station yake binafsi atakayoizindua mei 1 kwenye party ya zari inayofahamika kama zari all white party itakayofanyika mlimani city.
All the best kama sio kick.
Diamond kuzindua TV station yake mei 1 Mlimani City
Reviewed by
habari motto
on
7:57 AM
Rating:
5