Msanii Linah anasema wasanii wa bongo wakiweka picha kwenye mitandao ya jamii wanapondwa,picha hiyo hiyo akiweka Rihanna anasifiwa kisha akamalizia kwa kusema Tusupport wa nyumbani.
Wewe unalipi la kushauri hapa?
Linah: Atetea Vazi La Uchi
Reviewed by habari motto
on
8:01 PM
Rating: 5