Wakati Mpenzi wake wa zamani Nay wa Mitego akiwa Bize na Baby yake Mpya Shamsa Ford , Siwema Ameamua kujipoza machungu ya kuachwa na kunyang'anywa mtoto kwa kununua gari mpya.....
Ameweka Picha hiyo kwenye ukurasa wake wa Instagram na Kuandika yafuatayo:
wemalicious:
Thank u ZAMZAM MOTORS LTD.....kwakufanikisha hili...u always good to me#magari yenu yako bomba ile mbayaaa # namba ikitoka ntawambia ili msinipite barabarani!!!!
Siwema Ajipooza na Ndinga Mpya
Reviewed by habari motto
on
9:26 AM
Rating:
![Siwema Ajipooza na Ndinga Mpya](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMD9MVhEztJA7RfgcRMIc_97dRmetGYfeCvhU0DMzTH7-WQSL55tXtbayq287Gw4f1jNOcmzPWTD_LDCh5cWli18qA9oTj5QHWet1TZFEPbG7xmf0lqvwwLk0FQv71FSjnsC24W4KVo5Mh/s72-c/siwema%25252Bwa%25252Bney-1.jpg)