Mkoani morogoro watu 9 wamekamatwa kwenye msikiti mmoja wakiwa na mabomu, silaha na milipuko mikubwa ya hatari. Habari za kichunguzi zinasema walikua wanajiandaa kufanya shambulizi ktk chuo kikuu kimoja kilichopo mkoani morogoro, watu hao 9 bado wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa uchunguzi zaidi. Ktk harakati za kuwakamata askari polisi mmoja kakatwa shingoni na jambia.
Source dira ya mchana TBC 1
Wakamatwa Msikitini Wakiwa na Mabomu Na Silaha
Reviewed by habari motto
on
5:15 PM
Rating:
