Wakamatwa Msikitini Wakiwa na Mabomu Na Silaha

Mkoani morogoro watu 9 wamekamatwa kwenye msikiti mmoja wakiwa na mabomu, silaha na milipuko mikubwa ya hatari. Habari za kichunguzi zinasema walikua wanajiandaa kufanya shambulizi ktk chuo kikuu kimoja kilichopo mkoani morogoro, watu hao 9 bado wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa uchunguzi zaidi. Ktk harakati za kuwakamata askari polisi mmoja kakatwa shingoni na jambia.
Source dira ya mchana TBC 1

Wakamatwa Msikitini Wakiwa na Mabomu Na Silaha Wakamatwa Msikitini Wakiwa na Mabomu Na Silaha Reviewed by habari motto on 5:15 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.