Ajali Mbaya Yatokea

Taarifa toka Igunga Tabora kwa askari uslama barabarani amethibitisha kutokea kwa ajali ya Basi la kampuni ya Mtei ikihusisha na gari jingine. Kuna majeruhi kadhaa,akiwemo dereva wa bus hilo akiwa amevunjika miguu yote. Ajali hii imetokea eneo la Nasa ni kati ya Igunga na Nzega. Taarifa zaidi tutazipata baadae

Ajali Mbaya Yatokea Ajali Mbaya Yatokea Reviewed by habari motto on 2:48 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.