Mpoki Ajibu Kuhusu, Kutangaza Nia Ya Mbunge

Mpoki TT
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?


Tetesi zikamfikia Soudy Brown kwamba jamaa nae kaamua kuingia kwenye mchakato huo kimyakimya… Soudy akamcheki jamaa, majibu yake ni kwamba hajatangaza na wala hana mpango huo, kwa sasa ni yeye na shughuli yake ya usanii wa kuchekesha.

BOFYA HAPA UONE VIDEO YA KIKUBWA CHUMBANI =>
Mpoki Ajibu Kuhusu, Kutangaza Nia Ya Mbunge Mpoki Ajibu Kuhusu, Kutangaza Nia Ya Mbunge Reviewed by habari motto on 8:45 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.