![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj89HqPQ-YDgr71bg9nRB8vy4zuX-IQx78ead9rsDwq75TbhCMek9LTW_xGsKQjLdQ034IGdcU_W3NCiZREgGxfb1XScLDBwX_fO-p3RwAz4iZ3QYUQizabnQLa9pmclZ9gFmUQNacpIKg1/s400/unnamed%252B%252838%2529.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete ameitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu (CC) kitakachofanyika Kesho mjini Dodoma, huku ajenda kuu ikiwa ni kupitisha majina ya wagombea nafasi ya ujumbe wa Halmashuri Kuu (NEC), zilizo wazi kutokana na sababu mbalimbali, kuanzia ngazi za Wilaya mpaka taifa, na kwamba lazima zijazwe katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ili kila mtu atimize wajibu wake.
Rais Kikwete aitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu (CCM)
Reviewed by habari motto
on
8:33 AM
Rating:
![Rais Kikwete aitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu (CCM)](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj89HqPQ-YDgr71bg9nRB8vy4zuX-IQx78ead9rsDwq75TbhCMek9LTW_xGsKQjLdQ034IGdcU_W3NCiZREgGxfb1XScLDBwX_fO-p3RwAz4iZ3QYUQizabnQLa9pmclZ9gFmUQNacpIKg1/s72-c/unnamed%252B%252838%2529.jpg)