Rais Dr John Magufuli akikagua gwaride maalum nje ya Viwanja vya Bunge mjini Dodoma


 Rais Dkt. John Magufuli, akikagua gwaride maalum nje ya Viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana, wakati alipofika Bungeni hapo kwa mara ya kwanza tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Mhe Magufuli jana alilihutubia Taifa wakati akifungua rasmi Bunge hilo la 11, ambapo wapinzani waliamua kufanya vurugu kwa kuanza kupiga kelele na kuzomea, hadi walipoamuliwa na Spika wa bunge hilo kutoka nje ya ukumbi huo.
Rais Dr John Magufuli akikagua gwaride maalum nje ya Viwanja vya Bunge mjini Dodoma Rais Dr John Magufuli akikagua gwaride maalum nje ya Viwanja vya Bunge mjini Dodoma Reviewed by habari motto on 8:34 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.