Samora.
Marehemu aliondoka majira ya mchana January mosi mwaka huu akiaga kwenda matembezini na gari ya familia yenye namba za usajili T 234 DGW aina ya Toyota Spacio rangi ya fedha. Tangu muda huo simu ya marehemu iliita bila kupokelewa hadi usiku wa manane .
Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Dhahiri Kidavashari amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba marehemu alikuwa na watu wanaomfahamu vizuri hivyo ameomba yeyote mwenye taarifa za watu waliohusika na lilipo gari hilo.
Hata hivyo Kidavashari amesema marehemu alikuwa eneo jingine kisha kutupwa eneo la uwanja wa ndege wa zamani. Aidha amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hili.
Mtendaji wa Mtaa auawa
Reviewed by habari motto
on
7:44 AM
Rating: