

Baadhi
ya watuhumiwa wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi katika
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakisindikizwa na askari wa Kikosi cha
Kutuliza Ghasia (FFU), kuingia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini
Dar es Salaam Julai 17,2014 kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa 16
walisomewa mashitaka.

Watuhumiwa wakiingia ndani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Watuhumiwa wakipelekwa maabusu baada yakusomewa mashitaka yao.
HAWA NDIYO WALE WATUHUMIWA WANAOHUSISHWA NA VITENDO VYA UGAIDI
Reviewed by habari motto
on
10:00 PM
Rating:
Reviewed by habari motto
on
10:00 PM
Rating:
