NI MWANADADA JOKATE MWENGELO A.K.A JOJO NA TUHUMA JIPYA KWAMBA YEYE NDIYE CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YA DIDA
Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show , Jokate Mwegelo ‘ Jojo ’ amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘ Dida’ kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana . Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo ’ .
Akijibu tuhuma kuwa , yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo kufuatia ‘ ku -fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni mtangazaji mwenzake, Jokate alisema : ' Dida' akiwa na Ezden . “Yaani watu wanapenda kuungaunga maneno kweli , jamani mimi siwezi hata siku moja kuwa na Edzen , ni mfanyakazi mwenzangu halafu Dida ni mshikaji wangu siwezi kabisa , tena wasitake kunitibulia .
HIKI NDICHO ALICHOKISEMA JOKATE KUHUSIANA NA TUHUMA ZA KUVUNJA NDOA YA DIDA
Reviewed by habari motto
on
1:07 PM
Rating:
Reviewed by habari motto
on
1:07 PM
Rating: