
RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIFUNUA JIWE LA MSINGI KUFUNGUA RASMI BARABARA YA KILOMETA 78 YA PERAMIHO –MBINGA MJINI JULAI 19,2014.WENGINE KATIKA PICHA KUTOKA KUSHOTO NI MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE,WAIRI WA UJENZI DKT.JOHN POMBE MAGUFULI, KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA BWANA SERVASIUS LIKWELILE, MWENYEKITI WA MFUKO MCC TANZANIA BWANA BERNARD MCHOMVU. PICHA NA FREDDY MARO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa jiwe la Msingi kuzindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma leo.Rais Kikwete yupo mkoani Ruvuma Katika ziara ya Kikazi kukagua miradi ya maendeleo. 

Sehemu ya Barabara ya Peramiho -Mbinga yenye urefu wa Kilometa 78 iliyofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine wa Serikali wakivuta utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Peramiho-Mbinga yenye urefu wa Kilometa 78.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya Peramiho-Mbinga 78Km huku akiwa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine wa Serikali na balozi wa China nchini.


Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wa kwanza kulia akizungumza na Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli kabla ya uzinduzi wa barabara ya Peramiho-Mbinga 78km .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu.


Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katikati akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na baadhi ya Makatibu Wakuu na Mawaziri waliohudhuria katika ufunguzi wa barabara ya Perahimo Mbinga. Picha na Jackson Msangula
RAISI KIKWETE AFANYA MAENDELEO KUSINI MWA TANZANIA
Reviewed by habari motto
on
9:46 PM
Rating:
Reviewed by habari motto
on
9:46 PM
Rating: