Hiki kipaji si Mchezo..Sikia Jinsi Raymond wa Tip TOP akiigiza saut ya Ney Wa Mitego

Raymond
Miongoni mwa watu ambao nimegundua wana utani na utaenjoy kukaa nao ni pamoja na Fid Q, Mr. Blue, Baba Levo, Msechu na hayo ni baadhi tu lakini kuna wengine wana vituko vyao vya kipekee kama Raymond wa Tiptop Connection ambae mara nyingi huonekana kwenye stage na Madee ambapo wakati anamuigilizia Nay hakuwepo.
Raymond ambae pia ni mchekeshaji na mtani alionyesha uwezo wake kwenye kuigiza sauti ya Nay wa Mitego wakati Tour ya Fiesta ilipotua Mbeya (87.8 CloudsFM) ambapo ukishaisikiliza unaweza kuniachia comment yako kuniambia amempatia kwa asilimia ngapi?
PBF_8169
Hii pia ilikua ni siku nyingine ambapo Chege alichukua mic ya CloudsTV na kuanza kuhoji Wakali wengine ndani ya basi, Ommy Dimpoz, Blue, Mh. Temba ni watu wengine poa sana kukaa nao
Miongoni mwa wasanii ambao walichekeshwa sana na utundu huu wa Raymond ni pamoja na Mr. Blue, T.I.D, Linah, Linex na wengine ambao sauti zao wakicheka na kuongea zinasikika kwa mbali.


Hiki kipaji si Mchezo..Sikia Jinsi Raymond wa Tip TOP akiigiza saut ya Ney Wa Mitego Hiki kipaji si Mchezo..Sikia Jinsi Raymond wa Tip TOP akiigiza saut ya Ney Wa Mitego Reviewed by habari motto on 2:00 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.