Rapper Tyga Azungumzia Kutoka Young Money, Ijue Sababu, Hawa Ndio Anawachukia Sana Ndani Ya Young Money
Rapper Tyga anaendelea kuonyesha dalili
za kutaka kujitoa Young Money baada ya kuweka wazi kuwa hampendi rapper
wa kundi hilo Drake.
Kwenye mahojiano na jarida la Vibe Tyga
anasema "Lebel yangu ya Young Money haitahusika kwenye ubunifu wa nyimbo
kwenye album yangu mpya ya The Gold Album"
Kuhusu Drake na Nicki Minaj, Tyga
anasema "Najitenga na hawa watu sababu sielewani na Drake wala Nicki
Minaj, Simpendi Drake sababu yuko Fake sana, siko Young Money sababu
yao,
Niko pale sababu ya Lil Wayne, Drake ni
rapper mzuri ila kibinadamu sio mtu wa kweli ni fake sana" Tyga pia
anasema wasanii waliomuhamasisha kufanya vizuri ni rapper Kanye West Jay
Z, Eminem, and Lil Wayne as artists who gave him inspiration.
Rapper Tyga Azungumzia Kutoka Young Money, Ijue Sababu, Hawa Ndio Anawachukia Sana Ndani Ya Young Money
Reviewed by habari motto
on
1:01 PM
Rating:
![Rapper Tyga Azungumzia Kutoka Young Money, Ijue Sababu, Hawa Ndio Anawachukia Sana Ndani Ya Young Money](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5ZS3AfXkjmpCFVOVvE_WGzCq9EYxIEzpzAURj7F5UtABiZLRX51mJtoG8IKE_CdoWvmqTkIM2tyYkHmAZcxVC1VLAD9B5-f7ozir8JFlKBgJ0ybVKyDB-aRbAwnBYo8rsdsSSO_U_p_eU/s72-c/tyga-feat-2-chainz-do-my-dance-music-video.png)