Msanii kutoka Ghana anayeishi na kufanya
kazi zake Uingereza Fuse ODG Ameshinda tuzo ya Best African Act 2014
kwenye tuzo za MOBO za mwaka 2014.
Hii ni mara ya pili kwa mfululizo Fuse
anashinda tuzo hii. Fuse alikuwa akiwania tuzo hii na wasanii Davido,
Wizkid, Mista Silva na Afrikan Boy.
Fuse ODG aka Nana Richard Abiona ameng'ara na nyimbo kama Antenna, Azonto na Million Pound Girl (Badder Than Bad).
Wimbo wake mpya ‘Dangerous Love’ Ft Sean Paul ulifika namba mbili kwenye chati za Uingereza za nyimbo bora 40.
Fuse ODG Anyakuwa Tuzo Ya Best Africa Act. #MOBO2014
Reviewed by habari motto
on
12:57 PM
Rating: