Ajali Mbaya Yatokea.. Yahusisha Gari Dogo na Basi

 Gari aina ya Toyota Nadia likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana na basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola leo asubuhi mkoani Mbeya.
 Basi la kubeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola baada ya kugongana na Nadia.

AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
Ajali Mbaya Yatokea.. Yahusisha Gari Dogo na Basi Ajali Mbaya Yatokea.. Yahusisha Gari Dogo na Basi Reviewed by habari motto on 11:51 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.