Ajali Mbaya Yatokea, Yahusisha Basi La Abiria Na Mwendesha Baiskeli

Basi la osaka lenye namba za usajili  T 202 CVS linalofanya safari zake kutoka Musoma- Dar lapata ajali wilayani Bunda mkoani Mara  asubuhi hii. Mtoa taarifa hakuna aliyefariki katika basi ilo lakini kuna majeruhi kadhaa. Mtoa taarifa anasema aliyesababisha ajali ni mwendesha baskeli

Ajali Mbaya Yatokea, Yahusisha Basi La Abiria Na Mwendesha Baiskeli Ajali Mbaya Yatokea, Yahusisha Basi La Abiria Na Mwendesha Baiskeli Reviewed by habari motto on 10:43 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.