![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiA6dkGVUoICVZg1tw_QpiWuvi7pWDcQmiedV-CaqqfLW7mDNvfwLCesXUTzHctvf5zlQ3pk-s9fl2TiiqWz4R0ylNE6kmcNFyjzm3B7nSLoTGxmwtKpGz7DT5Ll_oICxckPJ1j1PL-bP8/s1600/shadow2.jpg)
Askari wa Jeshi la Indonesia akiangalia nje ya ndege ya jeshi la nchi hiyo aina ya C-130 Hercules iliyokuwa ikifanya msako bahari ya Java
MAMLAKA za Indonesia zinasema kwamba zinatathmini picha zinazoonesha mabaki yanayosadikiwa ni ya ndege ya AirAsia iliyotoweka mwishoni mwa wiki.
Kwa mujibu wa maelezo ya wizara ya uchukuzi yaliyokaririrwa na televisheni ya CNN ya Marekani,mabaki hayo yanayohisiwa ni ya ndege hiyo iliyokuwa na mruko namba QZ8501, yameonekana katika pwani ya jimbo la Kalimantan.
BREAKING NEWS: Mabaki ya ndege ya AirAsia
Reviewed by habari motto
on
1:27 PM
Rating:
![BREAKING NEWS: Mabaki ya ndege ya AirAsia](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiA6dkGVUoICVZg1tw_QpiWuvi7pWDcQmiedV-CaqqfLW7mDNvfwLCesXUTzHctvf5zlQ3pk-s9fl2TiiqWz4R0ylNE6kmcNFyjzm3B7nSLoTGxmwtKpGz7DT5Ll_oICxckPJ1j1PL-bP8/s72-c/shadow2.jpg)