Jokate atoa msaada kwenye kituo cha Watoto Yatima Tandale (picha)

.
Mrembo Jokate Mwegelo katika kusheherekea sikukuu ya X Mas Dec 27  ametoa msaada kwa watoto yatima wanaolelewa katika kituo kilichopo Tandale, Dar es Salaam.

Hizi ni baadhi ya picha za Jokate alipotembelea kituo hicho na kukabidhi msaada huo.
.
.
.
PICHA na: MILLAD AYO
Jokate atoa msaada kwenye kituo cha Watoto Yatima Tandale (picha) Jokate atoa msaada kwenye kituo cha Watoto Yatima Tandale (picha) Reviewed by habari motto on 4:12 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.