Shuhudia Jinsi Tafrani Ilivyotanda Kariakoo Jijini Dar- Es- Salaam

Askari Polisi wakiwapakia baadhi ya Wafanyabiashara ndogo ndogo(MMACHINGA) walioleta vurugu maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam leo.
 Mkazi wa jiji akisaidiwa na wasamalia wema baada ya kuzimia kutokana na kupatwa na mstuko baada ya Polisi kupiga Mabomu katika sakata hilo.
 Mkazi wa jiji akisaidiwa na wasamalia wema baada ya kuzimia kutokana na kupatwa na mstuko baada ya Polisi kupiga Mabomu katika sakata hilo.
 Baadhi ya Mashuhuda wakisaidia Mkazi huyo kuhakikisha anapelekwa katika kupata Huduma ya kwanza.
Msamaria akiwa na Mkazi huyo wa jijini baada ya purukushani za Machinga dhidi ya Polisi jijini Dar es Salaam leo.
Shuhudia Jinsi Tafrani Ilivyotanda Kariakoo Jijini Dar- Es- Salaam Shuhudia Jinsi Tafrani Ilivyotanda Kariakoo Jijini Dar- Es- Salaam Reviewed by habari motto on 10:51 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.