Stand Fc |
Mwadui FC
Waswahili wanasema mafahari wawili wakikutana kinachoumia ni nyasi ndivyo ambavyo
Shinyanga baina ya Stand United Fc dhidi ya Mwadui fc mchezo utakaopigwa katika uwanja
wa ccm Kambarage mjini Shinyanga kuanzia saa kumi jioni
Ikumbukwe timu hizi zilikuwa katika kundi moja mwaka jana katika ligi daraja la
kwanzaTanzania bara,hivyo mchezo wa kesho utakuwa ni mkali na wa kusisimua kwani timu
zote zina vikosi vizuri na zimefanya usajili katika dirisha dogo.
|
Kesho ndo kesho.... MWADUI FC vs STAND UNITED watapimana nguvu pale CCM kambarage
Reviewed by habari motto
on
10:49 PM
Rating: