Fainali Kombe La Mapinduzi; Mtibwa Vs Simba

TIMU ya Mtibwa Sugar leo imetangulia fainali na kuwasubiri Simba katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi, ambapo Simba pia wakikata tiketi usiku huu baada ya kuichapa Polisi Zanzibar bao 1-0.

Mtibwa Sugar wao wamepenya katika fainali hizo baada ya kuitoa JKU kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya timu hizo kumaliza dakika 90 bila kufungana katika mchezo uliochezwa leo jioni katika uwanja wa Aman mjini Zanzibar.

Fainali Kombe La Mapinduzi; Mtibwa Vs Simba Fainali Kombe La Mapinduzi; Mtibwa Vs Simba Reviewed by habari motto on 10:26 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.