Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mhe Ali Siwa, Balozi waTanzania nchini Rwanda aliyefika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015 kuaga rasmi kabla ya kwenda kuripoti kwenye kituo chake cha kazi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mhe Jacky Zoka, Balozi wa Tanzania nchini Canada aliyefika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9, 2015 kuaga rasmi kabla ya kwenda kuripoti kwenye
kituo chake cha kazi
kituo chake cha kazi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mhe Jacky Zoka, Balozi wa Tanzania nchini Canada na Mhe Ali Siwa, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, walipofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9,2015 kuaga rasmi kabla ya kwenda kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi.(Picha na Ikulu)
Rais Kikwete Aagana na Mabalozi wa Tanzania Nchini Canada na Rwanda
Reviewed by habari motto
on
11:48 AM
Rating:
![Rais Kikwete Aagana na Mabalozi wa Tanzania Nchini Canada na Rwanda](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg91HLPEh9KeVWX92ZILQM1U9wuhVz7ndKf97U5G4NlhEZrO0P_D8hZP3K-t4at3pvmogrYI2UDW1ctkYtQ1zd77hWpKfWu2BIwGN7lcyORuLj-8NFmUrkxc3vcsQu5HfT18b7xfG1beBnF/s72-c/B+1.jpg)