Raisi Kikwete Aizuru Zambia, Aweka shada la maua katika Makaburi

unnamed
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata aliyefariki mwaka jana katika eneo la maziko ya viongozi wa kitaifa jijini Lusaka Zambia leo.Rais Kikwete alitumia  wasaa huo pia kuweka shada la maua katika marais wa Zambia waliofariki Marehemu Frederick Chiluba na Levy Mwanawasa.
(picha na Freddy Maro)
Raisi Kikwete Aizuru Zambia, Aweka shada la maua katika Makaburi Raisi Kikwete Aizuru Zambia, Aweka shada la maua katika Makaburi Reviewed by habari motto on 11:24 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.