Raisi Kikwete Arejea Nchini Na Kiti Kipya

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya akimkaribisha Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki , Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Nairobi Kenya ambapo alihudhuria mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi Jumuiya ya Afrika Mashariki.Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo Dkt.Shukuru Kawambwa(picha na Freddy Maro)
Raisi Kikwete Arejea Nchini Na Kiti Kipya Raisi Kikwete Arejea Nchini Na Kiti Kipya Reviewed by habari motto on 8:36 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.