Watu
wawili wamekufa katika Ajali nyingine iliyotokea muda mfupi uliopita
huko mikumi kati ya basi T179CRG mali ya Fm safari linalotoka jiji la Dar es salaam kwenda jiji la mbeya na lori aaina ya Fuso. Tutaendelea kukujuza
Ajali Nyingine Mbaya Yatokea Morogoro
Reviewed by
habari motto
on
6:14 PM
Rating:
5