Ajali Yaua Shujaa Wa PCCB

Conrad Mtenga aliyekuwa mfanyakazi wa tume ya kuthibiti na kupambana na rushwa Tanzania (PCCB) amepata ajali na kufariki dunia akiwa njiani kuelekea mkoani Njombe kuchukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Njombe.Ajali hiyo ilihusisha gari lake aina ya land cruiser na lory aina ya scania yaliuogongana uso kwa uso.

Familia ya marehemu mke na watoto wako kwenye chumba cha wagojwa mautihuti  ila ,amefariki yeye mwenyewe na kampen manager wake

Habari motto inawaombea waliojuruhiwa wapone mapema na wale waliofariki wapumzike kwa amani.

Ajali Yaua Shujaa Wa PCCB Ajali Yaua Shujaa Wa PCCB Reviewed by habari motto on 9:00 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.