Lowassa Ashidwa Kushiriki Mazishi

Waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa ameshindwa kuhudhuria mazishi ya mwanasiasa mkongwe hayati mzee Peter Kisumo yaliyokuwa yanafanyika Usangi mkoani Kilimanjaro baada ya msafara wake kuzuiliwa na polisi katika wilaya ya Mwanga kutokana na kuongozana na wananchi wakiwemo vijana waliokuwa na pikipiki waliokuwa wanakwenda kwenye mazishi. 

Lowassa Ashidwa Kushiriki Mazishi Lowassa Ashidwa Kushiriki Mazishi Reviewed by habari motto on 8:03 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.