Mama Samia Kuiteka Kanda Ya Ziwa

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Vijana wa Buseresere, wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samaia Suluhu Hassan, msafara wake uliposimamishwa na vijana katika eneo hilo wakati akiwa  njiani kutoka Geita kwenda Bukoba mkoani Kagera leo
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipozunguza na waliposimamisha msafara wake katika eneo la Buseresere, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Wananchi Buseresere
Mwana mama akiwa kazini wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan aliposimamishwa na wananchi katika eneo la Buseresere mkoai Geita leo
Wananchi wakitazama msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, ulipopita eneo la  Chato mkoani Kagera, huku wakiwa karibu na bango la shule inayotumia jina a Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Dk. John Magufuli
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la Chato, wakati akiwa njiani kutoka Geita kwenda Bukoba kuendelea na kampeni leo

Mama Samia Kuiteka Kanda Ya Ziwa Mama Samia Kuiteka Kanda Ya Ziwa Reviewed by habari motto on 2:23 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.