Wanne kati ya hao watakaotumikia kifungo cha maisha jela ni aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Cyrille Ndayirukiye, Jenerali Zenon Ndabaneze, Juvenal Niyungeko na Hermenegilde Nimenya aliyekuwa Kamishana wa Polisi.
Awali upande wa mashtaka uliiomba mahakama kuwafunga washtakiwa wote kifungo cha maisha baada ya kukiri kushiriki katika jaribio hilo la mapinduzi mnamo mwezi Mei.
BBC
BBC
‘Waliompinduwa’ Nkurunziza Wafugwa Kifungo cha Maisha
Reviewed by habari motto
on
6:47 AM
Rating: