
Serikali ya Austria imesitisha mpango wake wa kutaka kubomoa nyumba ambazo Adolf Hitler alizaliwa,baada ya jopo la wataalam kusema kuwa halikuwa pendekezo lao.
Waziri wa maswala ya ndani ,Wolfgang Sobotka alitangaza jana kwamba jengo jipya litajengwa mahala hapo.
Lakini katika taarifa yake siku ya Jumanne, sasa ameunga mkono pendekezo hilo la wataalam kwamba kulibadilisha jumba hilo na kulifanya kuwa la serikali ama kitu chochote kinachokaribia hilo kutaathiri kumbukumbu zake.
Limekuwa jumba la kuhiji la watu wa Nazi.
Wataalam hao wamesema kuwa kubomolewa kwa jengo hilo kutaharibu kumbukumbu za watu wa Nazi.
Jumba la Adolf Hitler sasa kutobomolewa
Reviewed by habari motto
on
6:05 AM
Rating: