Baada ya Raisi Barack Obama mzaliwa wa kenya kushika uraisi nchini marekani sasa ni zamu ya mwanamke
bibi Elizabeth Kangethe amevunja mipaka ya siasa baada ya kuchaguliwa kuwa kiongozi waa kisiasa kama Mayor wa Barking and Dagenham kwa mwaka 2014-2015 huko Uingereza..Elizabeth Kangethe alizaliwa Ngewa village, Githunguri katika county ya Kiambu ,
U.K MAYOR FROM AFRICA
Reviewed by habari motto
on
12:55 PM
Rating:
![U.K MAYOR FROM AFRICA](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhU252X1zHaTUw-hFm2mX5GGtSjkCp4nq-TCo1RbxMhzmffqCZGlCiZZCbgbud-y_D9scOPOQm0QU_-f5ry1M-U5RAjDe-O4Z6_g5li2AuStG-kx97bQJCVmuN51elj3owrkc2Z-Zy3GZE4/s72-c/elizabeth-kangethe2.jpg)