Akipaa kutoka anga la Uganda mwanadada maarufu na mchekeshaji (comedian) amekuwa akisifika sana kwenye tasnia ya uchekeshaji.
Siku ya alhamisi alipost picha yake ambayo ni alionekana kama mwanamuziki wa hip hop. kofia juu , shingoni amezagaa cheni kubwa, hiyo suruali ndio kituko zaidi. na hapo chini alivaa raba kama za michael jordan.. on aalichocapture kwenye picha hiyoo
Captioned: ”Y’all wasap? Good morning y’all!!!!#100%swaggerific.”
Check her out
ALICHOPOST COMEDIAN KANSIMEE KIKO HAPAA
Reviewed by habari motto
on
8:34 AM
Rating:
![ALICHOPOST COMEDIAN KANSIMEE KIKO HAPAA](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjT01bgoFCs4iqHcQs7ZaXeVX2jLm6rP8OEu7HhRSGlWx1ax_kGjzHO5PwaKD9fduxJiepZSou-VqMOzf43chwLOYWA5v6psOMMajH1LP_NWMmGE9w6AOCkOY1BQ9fW3aATdEBTzUjt6UIX/s72-c/kkkk.jpg)