HAYA NDIYO MAWAZO YA MKOMBOZI WA WANAWAKE KATIKA JAMII YA KIISLAM

Adlah Bint Abdullah Bin Abdel Azizi Al Saoud

NCHI YA SAUDIA ARABIA NI NCHI YENYE MISINGI YA DINI YA KIISLAM. MISINGI HIYO INAKANDAMIZA JINSIA YA WANAWAKE NKATIKA NCHI HIYO.
MWANA WA MFAME WA SAUDI ARABIA AME KUWA NI CHACHU KUTOKANA NA JUHUDI ZAKE ZA  KUWAKOMBOA WANAWAKE KUTOKA KWENYE MISINGI HIYO YA UKANDAMIZAJI
 Adlah bint Abdullah bin abdel azizi al Saoud ni mwanamke wa kisasa, mpigania haki za wanawake.
alihojiwa na gazete la ufaransa  liitwalo "le firago" ambapo alitoa wamazo yake kuhusiana na ndoa, hijab, kazi wa wanawake na mitandao ya kijamii
abdallah aliona kuna mapungufu kwenye swala la ndoa kwa wanawake wenye umri mdogo
kitu kilichomfanya ashinikize uongozi kupanga sheria na taratibu ikiwemo umri wa mwanamke kuolewa
pia anaona hakuna tatizo la mwanamke kufanya kazi na mwanaume bega kwa bega ikiwa kuna heshima juu yao

HAYA NDIYO MAWAZO YA MKOMBOZI WA WANAWAKE KATIKA JAMII YA KIISLAM HAYA NDIYO MAWAZO YA MKOMBOZI WA WANAWAKE KATIKA JAMII YA KIISLAM Reviewed by habari motto on 7:56 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.