Makamu mkuu wa raisi wa kenya Mh. William Ruto amemtuhumu Mh.Raila Odinga kwa kuandaa watu wa kufanya fujo katika siku ya madhimisho ya saba saba yatakayofanyika uhuru park
Mh Ruto aliyasema hayo alipoongea na kituo cha habari cha citizen siku ya jumanne.
serikali haitokubali vitisho kutoka kwa upinzania. tutakuwa imara .. alisema ruto
RUTO AMTUHUMU RAILA
Reviewed by habari motto
on
9:30 PM
Rating:
![RUTO AMTUHUMU RAILA](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgZF6XEZxo1kBTTX4Uah28uy0Y1ZMIyKAcKyJEZAmmFEdYjZ1kP9CRalaef5LTl8j7CrNsZf8JmUp_HW0fwbvAnNcnAC_-fzdeUrRFx788fRZITdP_qmVeyqGZWiNj-2NJu2MifV1Bfxl4W/s72-c/RUTOO.png)