RUTO AMTUHUMU RAILA


Makamu mkuu wa raisi wa kenya Mh. William Ruto amemtuhumu Mh.Raila  Odinga kwa kuandaa watu wa kufanya fujo katika siku ya madhimisho ya saba saba yatakayofanyika uhuru park
Mh Ruto aliyasema hayo alipoongea na kituo cha habari cha citizen siku ya jumanne.

serikali haitokubali vitisho kutoka kwa upinzania. tutakuwa imara .. alisema ruto

RUTO AMTUHUMU RAILA RUTO AMTUHUMU RAILA Reviewed by habari motto on 9:30 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.